Ouverture du I Centenaire de la mort du bienheureux MANUEL DOMINGO Y SOL

FONDATEUR DE LA FRATERNITÉ DE PRÊTRES OPÉRAIRES DIOCÉSAINS
ENTRÉE
1. Milango zetu zimefunguliwa tuingie sasa nyumbani mwa Bwana ; magombezi yote tuache nje, ni wakati sasa wa kusali.
Alleluia (bis)
Wamama na wamana na wazee na watoto, ingieni sasa nyumbani mwake Bwana Mungu wetu. Imbieni furaha (x 3)
2. Ref: Tuingie nyumbani mwa Bwana, tuingie nyumbani mwake
Karibu, ndugu, tuingie nyumbani mwake, tuingie.
Milango zetu zimefunguliwa tuingie sasa nyumbani mwa Bwana; magombezi yote tuache nje, ni wakati sasa wa kusali.
3. Ref: Nous marchons vers le Dieu Puissant en lui chantant un cantique nouveau et dans son sanctuaire il entend nos voix.
Marchons joyeusement jusqu’à son autel.
Namwungamia Mungu Baba (Ooh mimi) namwungamia Baba Mwenyezi (2x) nanyi ndugu zangu, ya kama nimefanya zambi tele, naungama. (2x)
Ooh mimi, naungama, ooh mimi naungama, Ooh mimi naungama zambi zangu. (2x)
Mawazo yangu yote, maneno yangu yote, matendo yangu naungama, (2x) na kwa kuacha mapashwa, mapashwa yangu yote, ndiyo kosa langu kubwa. (2x) Ndiyo maana naomba mama Maria, bikira mtakatifu situ zote. (2x), na malaika wote, na watakatifu wote, kuniombea kwa Bwana Mungu. (2x)
KYRIE
Bwana, utuhurumie. Kristu, utuhurumie. Bwana, utuhurumie.
GLORIA: SFA KWA MUNGU
Ref: Sifa kwa Mungu juu mbinguni: twimbe sifa. Amani, amani duniani : twimbe sifa Kwa watu anaowapenda : tuimbe sifa.

R. Tu n’as voulu ni sacrifice, Tu n’as voulu ni holocauste, mais tu m’as formé un corps.Alors j’ai dit : me voici, Me voici, Seigneur, je viens, Je viens pour faire ta volonté (bis)
Mimi mtumishi Bwana asema, ee Bwana, alleluia (2x)
Najua kondoo zangu, nao wanijua, alleluia.
3. Ref: Nakuja, nakuja kutolea sadaka, ee mmi Nakuja, ee mimi, kutolea ee mimi, sadaka yangu: Uipokee!
Mwumba wa vyote, pokea, ee (2x) sadaka yangu, Bwana, pokea, ee Twakutolea, Bwana, pokea. Ni waana wako, Bwana, pokea, ee twakutolea sadaka yetu, Bwana pokea,ee (2x). Ee mimi, nakuja, ee mimi, kutolea mimi sadaka yangu, uipokee.
Mtakatifu (x4) Bwana Mungu wa ulimwengu Mbingu na dunia zimejaa sifa yako, oo Hosanna!
Réf. Hosanna! (x4)

Agneau de Dieu qui enlèves le péché du monde, prends pitié de nous (2x).
Agneau de Dieu qui enlèves le péché du monde, prends pitié de nous (2x).
Agneau de Dieu, qui enlèves le péché du monde, donne-nous la paix.
COMMUNION
Ref : Ndiyo sasa tumpokee Mungu Mwana katika mkate mweupe, bora na safi. Akaamo pasipo kuonekana, Ajificha, ni fumbo lake mwenyezi.
Kwa woga wetu amejificha humo, ndiyo maana hatuoni sura yake. Twampokea kama waana vipofu na kula mwili wake katika Hostia.
Mkate huo, ndiyo mwili wake Mungu, na divai ndiyo damu yake safi. Vyote vyafanyiwa katika Umungu, ni mujiza mkubwa kwa sisi vipofu.
Ref: Wewe, baba Domingo, tunakuomba, utuombee, tunakuomba, utulinde. (bis)
Baba, baba, tunza wito wetu, Mtume wa wito, tunza wito wetu. (bis)
1. Mavuno ni mengi, ee Baba, Lakini wafanya kazi ni wachache. (bis)
Baba, baba, tunza wito wetu, Mtume wa wito, tunza wito wetu. (bis)
2. Mwombeni Bwana wa mavuno, atume wafanya kazi mu mavuno. (bis)
Baba, baba, tunza wito wetu, Mtume wa wito, tunza wito wetu. (bis)
Ref :Nitamwimbia Bwana wangu sifa siku zote za maisha yangu, nitamwimbia. kwani yeye ni mwema sana,. ndiyo maana nitamwimbia sifa yade (2x)